Sunday, July 1, 2012
MKURUGENZI WA CRDB AFUNGUA TAWI JIPYA TEGETA
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dk Charles Kimei akikata utepe kuzindua tawi jipya la benki hiyo Tegeta jijini Dar es Salaam
WATOTO WAPEWA MATONE YA VITAMINI A
Mmoja wa watoto waliopelekwa kupimwa afya zao katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam wakipatiwa dawa ya vitamini A na Mganga Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Dk Gunini Kamba
WAZIRI WA NISHATI NA UMEME AZINDUA MTAMBO WA UMEME
Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo akiwa katika mtambo wa umeme unaotumia gesi asilia Ubungo kabla ya kuuzindua
Subscribe to:
Comments (Atom)
