Sunday, July 1, 2012

MKURUGENZI WA CRDB AFUNGUA TAWI JIPYA TEGETA

Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dk Charles Kimei akikata utepe kuzindua tawi jipya la benki hiyo Tegeta jijini Dar es Salaam

WATOTO WAPEWA MATONE YA VITAMINI A

Mmoja wa watoto waliopelekwa kupimwa afya zao katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam wakipatiwa dawa ya vitamini A na Mganga Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Dk Gunini Kamba

WAZIRI WA NISHATI NA UMEME AZINDUA MTAMBO WA UMEME

Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo akiwa katika mtambo wa umeme unaotumia gesi asilia  Ubungo kabla ya kuuzindua