Dafrosa Longa (43) mkazi wa Kijiji cha Lipinyapinya katika Mtaa wa Kigamboni Peramiho mkoani Ruvuma akiwa amelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Peramiho jana baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu kwenye sherehe ya Kipaimara katika Kijiji cha Namihoro, Peramiho Songea mkoani Ruvuma. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA) |
No comments:
Post a Comment