Thursday, May 31, 2012

MWANASIASA MASHUHURI MZEE MUSTAPHA SONGAMBELE ATIMIZA MIAKA 87

Alhaji Mustafa Songambele na mkewe Mwaya Kondo wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu na jamaa waliofika katika sherehe fupi ya kutimiza miaka 87 ya kuzaliwa kwa mwanasiasa huyo mkongwe hapa nchini,

No comments:

Post a Comment