Tuesday, May 1, 2012

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano:- wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa kumbukumbu katika eneo la Chuo kipya cha VETA, baada ya kufungua rasmi chuo hicho kilichojengwa Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara. Hafla ya ufunguzi wa Chuo hicho ilifanyika jana Aprili 30, 2012, mkoani Manyara. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

No comments:

Post a Comment