Friday, May 18, 2012

MWENYEKITI WA SIMBA AANGUA CHOZI

Add caption
Mwenyekiti wa Simba Ismail Adwen Rage akitulizwa na Prof Philemon Sarungi baada ya kiongozi huyo kushindwa kutoa salam za klabu yake na kuanza kulia katika viwanja vya Sigara ambako kulifanyika maombolezo ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo Patrick Mafisango aliyefariki kwa ajali ya gari juzi.

No comments:

Post a Comment