Tuesday, May 15, 2012

MAZOEZI YA KUOGELEA

Haya ni mazoezi maalum ya kuogelea ambapo vikundi mbalimbali vilishiriki katika kuogelea yaliyofanyika katika bwawa lililopo katika Shule ya kimataifa ya Hopac. Mashindano hayo yaliandaliwa na Chama cha Kuogelea.nchini.

No comments:

Post a Comment