Tuesday, May 29, 2012

MH ESHIMIWA ABOOD AKITEMBEZWA KATIKA KANISA LILILOCHOMWA MOTO

Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed 
Akitembezwa na mwenyeji wao, Askofu Dickson Kaganga,
 kwenye kanisa la TAG la Kariakoo Zanzibar kuangalia uharibifu uliosababishwa na kuchomwa moto na watu wasiojulikana hivi karibuniPicha na Martin Kabemba

No comments:

Post a Comment