Tuesday, May 29, 2012

WAZIRI ABOOD ATEMBELEA KANISA LILILOCHOMWA MOTO ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud akizungumza na viongozi wa madhehebu ya dini baada ya kutembelea kanisa la TAG la Kariakoo mjini Zanzibar lililochomwa moto juzi.Add caption

No comments:

Post a Comment