Wednesday, May 2, 2012

Wakulima Mbarali wapata Mashine ya kuvunia mpunga

Wananchi wa Kata ya Madibila wilayani Mbarali wakiangalia mashine mpya ya kuvunia mpunga iliyonunuliwa kwa ushirikiano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali na Chama cha Wakulima wa Mpunga (Mamcos) wakati ikifanyiwa majaribio kabla ya kukabidhiwa rasmi. Mashine hiyo ilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 66 kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania Ltd ya Jijini Dar es Salaam na ilikabidhiwa juzi kwa wakulima hao.

No comments:

Post a Comment