Monday, May 21, 2012

JUKWAA LA KATIBA LAWASILISHA MACHAPISHO MBALIMBALI KWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA

Waziri wa Katiba na Sheria  Bw. Mathias Chikawe akipokea  machapisho mbalimbali  kutoka kwa Bw. Hebron Mwakagenda wa  Kamati Ongozi ya Jukwaa la Katiba Tanzania wakati wajumbe wa Jukwaa hilo walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Mei 21, 2012). Wanaoshuhudia ni Bi. Ussu Mallya na Bw. William Kahale  kutoka Jukwaa hilo.    

No comments:

Post a Comment