Thursday, June 21, 2012

WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI CHA MOROGORO WATOA MSAADA KWA YATIMA

Rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari Morogoro (MSJ) Jackson Monila (Mwenye sharti nyeupe kulia na Mkurugenzi wa kituo cha watoto yatima cha Dayspring Academy, Edith Ndemanisho mwenye miwani) wakiwa katika picha ya pamoja ya baadhi ya waandishi wa habari na watoto yatima mara baada ya serikali ya wanafunzi hao wa chuo cha habari Morogoro kukabidhi msaada wa  msaada wa vifaa mbalimbali katika kituo hicho kilichopo kata ya Mbuyuni Manispaa ya Morogor Picha kwa hisani ya blog Juma Mtanda

No comments:

Post a Comment