Thursday, June 21, 2012

MAMBO YA BIRTH DAY

Bi Fatuma Katanga akiwasha mishumaa wakati wa sherehe ya siku ya kuzaliwa kwake iliyofanyika nyumbani kwao huko Buza nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.Wengine Pichani  ni mumewe Amani Mahanga(Kushoto) na Binti yao pekee Mosi aliyeandaa hafla hiyo.
(Picha na Moshy Kiyungi)

No comments:

Post a Comment