Bi Fatuma Katanga akiwasha mishumaa wakati wa sherehe ya
siku ya kuzaliwa kwake iliyofanyika nyumbani kwao huko Buza nje kidogo ya
Jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.Wengine Pichani ni mumewe Amani Mahanga(Kushoto) na Binti yao pekee Mosi aliyeandaa
hafla hiyo.
(Picha na Moshy Kiyungi)
No comments:
Post a Comment