Monday, June 18, 2012

WAFANYAKAZI WA UNITED BANK FOR AFRICA WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIGAMBONI


Meneja wa United Bank for Africa tawi la Kariakoo,Victor Mtondane akiwapa nasaha watoto wanaolelewa katika kituo cha New Hope Family kilichopo Kigamboni wakati wafanyakazi wa benki hiyo walipokwenda kutoa misaada ya vyakula.vyenye thamani ya shilingi milioni 2

No comments:

Post a Comment