Saturday, June 30, 2012

GARI LA WAGONJWA LILILOMBEBA DK ULIMBOKA LIKIINGIA KATIKA UWANJA WA NDEGE

Gari la wagonjwa lililombeba Dk Ulimboka likiingia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam tayari kusafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment