GARI LA WAGONJWA LILILOMBEBA DK ULIMBOKA LIKIINGIA KATIKA UWANJA WA NDEGE
Gari la wagonjwa lililombeba Dk Ulimboka likiingia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam tayari kusafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu.
No comments:
Post a Comment