Wasanii wa kikosi cha T Africa kutoka Temeke wakicheza kuwania nafasi ya Tano Bora katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika viwanja vya TCC,Chang;ombe jijini Dar es Salaam ambapo kundi litakaloshinda baada ya mpambano wa makundi kutoka Kinondoni,Ilala na Temeke atajinyakulia shilingi milioni 5
No comments:
Post a Comment