Sunday, June 24, 2012

EATV WAPAGAWISHA VIJANA KATIKA SHINDANO LA DANCE 100 LILILOFANYIKA TEMEKE

Wasanii wa kikosi cha T Africa kutoka Temeke wakicheza kuwania nafasi ya Tano Bora katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika viwanja vya TCC,Chang;ombe jijini Dar es Salaam ambapo kundi litakaloshinda baada ya mpambano wa makundi  kutoka Kinondoni,Ilala na Temeke atajinyakulia shilingi milioni 5

No comments:

Post a Comment