Friday, May 18, 2012

Mchezaji wa Simba Uhuru Selemani akilia wakati wa kutoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Patrick Mafisango aliyekuwa mchezaji mwenzake. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari ambapo alisafirishwa kwenda kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazishi

No comments:

Post a Comment