Tuesday, May 29, 2012

IDD SIMBA ATINGA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Mwenyekiti wa zamani wa Shirika la Usafiri  la UDA, Iddi Simba a kiwa katika   Mahakama ya Hakimu Mkazi  Kisutu jijini Dar es Salaam jana.Simba  alifikishwa katika mahakama hayo  kwa  kufunguliwa  mashtaka manane  yanahusiana na tuhuma za rushwa

No comments:

Post a Comment