Tuesday, May 29, 2012
IDD SIMBA ATINGA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
Mwenyekiti wa zamani wa Shirika la Usafiri la UDA, Iddi Simba a kiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana.Simba alifikishwa katika mahakama hayo kwa kufunguliwa mashtaka manane yanahusiana na tuhuma za rushwa
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment