Saturday, May 19, 2012

Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara cha Moshi mkoani Kilimanjaro,Prof Faustine Bee akizungumza katika hafla ya Siku ya Wanafunzi iliyofanyika chuoni hapo juzi mabpo mgeni rasmi alikuwa Dk. Reginald Mengi

No comments:

Post a Comment