Wednesday, May 16, 2012

ASKARI KAMPUNI YA ULINZI WAGOMA MWANZA

Baadhi ya askari wa kampuni ya Ulinzi ya Victoria Support Services (VSS) wakiwa wamekusanyika katika ofisi za kampuni hiyo kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi miwili iliyopita, ambapo pia walitishia kuchoma moto au kuvunja vioo vya magari ya kampuni hiyo endapo uongozi utashindwa kuwalipa haki yao hiyo (Picha: George Ramadhan)
Add caption

No comments:

Post a Comment