Tuesday, May 29, 2012

Askofu wa kanisa la TAG Kariakoo mjini Zanzibar, Dickson Kaganga, ambaye kanisa lake limechomwa moto, akizungumza kwenye kikao hicho ambacho viongozi wa madhehebu mbalimbali walihudhuria.
Picha na Martin Kabemba

No comments:

Post a Comment