Thursday, May 31, 2012

Afisa Elimu wa Shule za Msingi jijini Mbeya Aulelia Lwenza akibadjhi msaada wa madawati 50 yenye thamani ya shilingi milion 5  kwa baadhi ya Walimu Wakuu ambao ulitolewa na bodi ya makandarasi  jana wakati wa uzinduzi  mkutano wa mwaka 2012 jana katika chuo cha sayansi na teknonolojia (MIST) jana picha na Hawa Mathais,Mbeya)

No comments:

Post a Comment