Wednesday, May 2, 2012
Shule ya Sekondari ya Central Dodoma yafungwa
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mlugo akizungumza na wanafunzi wa shule wa Sekondar ya Central baada ya kuifunga shule hiyo kutokana kutokuwa na sifa jana.(Kushoto) mmiliki na meneja wa shule hiyo Godwin Kigala
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment