Sunday, July 1, 2012

MKURUGENZI WA CRDB AFUNGUA TAWI JIPYA TEGETA

Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dk Charles Kimei akikata utepe kuzindua tawi jipya la benki hiyo Tegeta jijini Dar es Salaam

WATOTO WAPEWA MATONE YA VITAMINI A

Mmoja wa watoto waliopelekwa kupimwa afya zao katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam wakipatiwa dawa ya vitamini A na Mganga Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Dk Gunini Kamba

WAZIRI WA NISHATI NA UMEME AZINDUA MTAMBO WA UMEME

Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo akiwa katika mtambo wa umeme unaotumia gesi asilia  Ubungo kabla ya kuuzindua

Saturday, June 30, 2012

GARI LA WAGONJWA LILILOMBEBA DK ULIMBOKA LIKIINGIA KATIKA UWANJA WA NDEGE

Gari la wagonjwa lililombeba Dk Ulimboka likiingia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam tayari kusafirishwa kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu.

WANAHARAKATI WAKIWA WAMESHIKA MABANGO YENYE UJUMBE MBALIMBALI KUMUAGA DK ULIMBOKA ANAYEPEKWA NJE YA NCHI KWA MATIBABU

Baadhi ya wanaharakati na madaktari wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa aina mbalimbali kumuaga Dokta Stephen Ulimboka ambaye alisafirishwa nje ya nchi kwa matibabu zaidi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam

Monday, June 25, 2012

ASKARI WA KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA WAKIULINDAMWENGE MARA BAADA YA KUINGIA JIJINI DAR ES SALAAM

Askari kutoka jeshi la Polisi wakiimarisha ulinzi wakati wa sherehe za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru leo jijini Dar es Salaam.Picha: Aron Msigwa - MAELEZO

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM APOKEA MWENGE

Mkuu wa mkoa wa Dar es  Salam Saidi Meck Sadik (kulia) akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bi. Tatu Saidi Mussa leo jijini Dar es Salaam . Mwenge wa Uhuru umewasili  jijini  Dar es Salaam ukitokea Mkoa wa Kusini Pemba.

WAKIMBIZA WAKIELEKEA KUANZA MBIO HIZO WILAYANI TEMEKE


Wakimbiza Mwenge kitaifa wakiongozwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Capt. Ernest Mwanossa (wa kwanza mbele)  wakianza safari kuelekea maeneo mbalimbali ya wilaya ya Temeke leo jijini Dar es Salaam.

MWENGE WA UHURU WAINGIA DAR

Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akiahidi mbele ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadik kuupokea Mwenge wa Uhuru na kuukimbiza katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo ambapo miradi 11 itafunguliwa na kuwekewa mawe ya msingi.

AIRTEL NA SUPA 5

Ni Mzee wa Makamo hivi lakini alionesha umahiri wake mkubwa wa kuwachangamsha vilivyo sehemu ya wakazi wa jiji la Mwanza.Anaitwa Mzee Salum akikamua jukwaani jana kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza,wakati wa uzinduzi  wa huduma mpya ya Airtel Jiunge na Supa5.

Sunday, June 24, 2012

EATV WAPAGAWISHA VIJANA KATIKA SHINDANO LA DANCE 100 LILILOFANYIKA TEMEKE

Wasanii wa kikosi cha T Africa kutoka Temeke wakicheza kuwania nafasi ya Tano Bora katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika viwanja vya TCC,Chang;ombe jijini Dar es Salaam ambapo kundi litakaloshinda baada ya mpambano wa makundi  kutoka Kinondoni,Ilala na Temeke atajinyakulia shilingi milioni 5

EATV WATEKA VIJANA

Kikundi cha Lisbon wanogesha shindano la EATV

HII NDO TEMEKE BWANA WASANII WA LISBON NAO WAMO

Wasanii wa kundi la Lisbon Temeke wakionyesha uwezo wao

TEMEKE DANCE 100

Wapenzi wakipagawishwa na vijana waliokuwa wanawania Tano Bora kutoka Temeke

WAPENZI WA MUZIKI WANOGEWA NA DANCE 100 YA EATV


Wapenzi wakinogewa na mashindano ya Dance 100 Temeke viwanja vya Chang;ombe

HII NDO BEST FRIEND

BEST FRIEND wanogesha safari yao ya kuingia tano bora Temeke

BEST FRIEND WANOGESHA MAMBO TEMEKE

BEST FRIEND wanogesha safari yao ya kuingia tano bora Temeke

HAWA NDO BEST FRIEND

Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

BEST FRIEND KIBKO WILAYNI TEMEKE


Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

BEST FRIEND SI MCHEZO

Kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.
MSANII wa  kundi la BEST FRIEND akinogesha kundi lake  kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

WASANII WA KUNDI LA BEST FRIEND WANOGESHA MAMBO

Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.
Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

WASANII WA BEST FRIEND WAKICHACHAFYA

Add caption
Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.
Msanii wa kundi la BEST FRIEND akicheza  katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

WASANII WA KUNDI LA BEST FRIEND WATIA FORA

Wasanii wa kundi la BEST FRIEND wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

WASANII WA KIKUNDI CHA MIA KWA MIA

Wasanii maarufu kwa jina la Mia kwa Mia wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.
Wasanii maarufu kwa jina la Mia kwa Mia wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.
Wasanii maarufu kwa jina la Mia kwa Mia wakicheza kutafuta nafasi ya Tano Bora Temeke katika mashindano ya Dance 100 yaliyoandaliwa na EATV katika uwanja wa TCC Club Chang;ombe jijini Dar es Salaam.

Saturday, June 23, 2012

WASANII WAKUNDI LA B-BOY WAPAGAWISHA MASHABIKI WA MUZIKI

Wasanii wa kundi la B Boy wakiwania nafasi ya kushiriki katika shindano la Dance 100

VIJANA WA FBI WAANZA SAFARI YA KUWANIA MILIONI TANO

Wasanii wa FBI wakianza safari ya kuwania shilingi milioni tano kwa kundi Bora

EATV WAPAGAWISHA VIJANA WA ILALA

Vijana wa kundi la Cool Jackson wakionyesha utaalam wao wa  kucheza katika hatua za awali za kutafuta vikundi vitano kutoka wilaya ya Ilala ambavyo vitaingia katika kinyanganyiro cha kutafuta kundi bora ambalo litajinyakulia zawadi ya shilingi milioni 5 kwa mkoa wa Dar es Salaam jana. Mashindano hayo yameandaliwa na kituo cha televisheni kwa vijana cha Channel 5. Mashindano hayo yanaendelea leo kwa wilaya ya Temeke katika uwanja wa Sigara Chang’ombe.

COOL JACKSON WAKIWANIA NAFASI YA TANO BORA

Wasanii wa COOL JACKSON wakiwapagawisha majaji na wapenzi wao

COOL JACKSON WAKIONYESHA UMAHIRI WAO

Wasanii wa kundi la Cool Jackson wakicheza kuwania nafasi ya tano bora ya Ilala.

THE REVOLUTION WACHACHAFYA JUKWAANI

Wasanii wa kundi la The Revolution watafuta nafasi ya kuwemo kwenye tano bora ya Ilala

KUNDI LA FBI LAONYESHA UMAHIRI KWENYE MICHUANO WA DANCE 1000 YA EATV

Wasanii wa FBI ya Ilala wakinyesha utaalam wao katika mashindano ya DANCE 100 yaliyotayarishwa na EATV kwa wilaya za Ilala,Temeke na Kinondoni kutafuta kundi bora ambalo lijinyakulia shilingi milioni 5

VIJANA WAKIFUATILIA KWA MAKINI MASHINDAO YA KUDANCE TA EATV

Vijana wakifurahishwa na mashindano ya DANCE 100 ya EATV

KUNDI LA GOMS UNIT NALO LAONYESHA MAKALI YAKE

Wasanii wa kundi la Goms Unit wakionyesha utalaam wao kwenye mashindano ya Dance 100 katika viwanja vya Don Bosco

WAPENZI WA FBI WAKIPAGAWA

Wapenzi wa kundi la FBI wakifurahia kundi hilo baada ya kuonyesha makali yao katika viwanja vya Don Bosco

HII NDIYO FBI

Wasanii wa kundi la FBI wakipagawisha wapenzi wao

WAPENZI WA MUZIKI WA CHANNEL 5 WAPAGAWISHWA A

Wapenzi wa mashindano ya DANCE 100 yaliyotayarishwa na EATV wakifuhia moja ya vikundi vilivyoshiriki kutoka Ilala.
Wasanii wa FBI wakicheza kwenye viwanja vya Don Bosco Kesho ni wilaya zamu ya wasanii wa Temeke viwanja vya Sigara

EATV YAPAGAWISHA VIJANA WA ILALA

Wasanii wa kikundi cha FBI wakionyesha umahiri wao wa kucheza katika hatua za awali za kutafuta vikundi vitano kutoka wilaya ya Ilala ambavyo vitaingia katika kinyanganyiro cha kutafuta kundi bora ambalo litajinyakulia zawadi ya shilingi milioni 5 kwa mkoa wa Dar es Salaam jana. Mashindano hayo yameandaliwa na kituo cha televisheni kwa vijana cha Channel 5. Mashindano hayo yanaendelea leo kwa wilaya ya Temeke katika uwanja wa Sigara Chang’ombe

Friday, June 22, 2012

KABURI LA KUMHIFADHI MPENDWA WILLY EDWARD LAANDALIWA

Vijana wakichimba jana kaburi atakamohifadhiwa milele aliyekuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, marehemu Willy Edward nyumbani kwao Molotonga, Mugumu Mjini, wilayani Serengeti, Mara jana.

WAZIRI LUKUVI AKIMBEMBELEZA MBUNGE WA BUSEGA AIUNGE MKONO BAJETI

Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (Sera na Uratibu wa bunge), William Lukuvi (kulia) akicha chemba na mbunge wa Busega, Luhaga Mpina nje ya lango la nyuma la ukumbi wa bunge mjini Dodoma jana. Mpina ndio mbunge pekee wa CCM, aliyekataa kuiunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13 kwa madai kuwa haikuwa ile waliyokubaliana baina ya kamati ya fedha ya bunge na serikali

Thursday, June 21, 2012

MAMBO YA KEKI

Akiwa furaha kubwa Bi. Fatuma Katanga akimlimsha kipande cha Keki mumewe  Bwana Amani Mahanga(Kushoto)wakati wa hafla fupi ya siku ya kuzaliwa kwake katika iliyofanyika nyumbani kwao huko Buza nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.

MAMBO YA BIRTH DAY

Bi Fatuma Katanga akiwasha mishumaa wakati wa sherehe ya siku ya kuzaliwa kwake iliyofanyika nyumbani kwao huko Buza nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.Wengine Pichani  ni mumewe Amani Mahanga(Kushoto) na Binti yao pekee Mosi aliyeandaa hafla hiyo.
(Picha na Moshy Kiyungi)