Monday, June 4, 2012

Muimbaji mashuhuri wa kundi la Mashujaa band  Charles Baba a.k.a Kingunge akiwasha moto jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa Morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Iringa, arusha na Mwanza.

No comments:

Post a Comment