Chama cha Wanafunzi wa zamani wa
shule yta kimataifa ya Tanganyika
(IST), Shamnima Bhallo ( Kulia)
akimkabidhi tiketi ya ndege mwanafunzi Gregory Machura ( wa pili kulia) ambaye
amepata ufadhili wa masomo katika chuo kikuu cha Mississipi nchini Marekani,
kwenye hafla ya makabishiano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine I
Makamu wa Rais wa chama hicho, Hassan Dewji ( wa pili kushoto), baba ya
mwanafunzio huyo, Donald Machura na wengine ni walimu na wafanyakazi wa shule hiyo.
No comments:
Post a Comment