Tuesday, June 5, 2012


Spika wa tatu wa Bunge jipya la Afrika Mashariki (EALA) Margaret Banbtonbg Zziwa (49) kutoka Uganda akitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge hilo uliopo katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC jijini Arusha leo. Zziwa ambaye ni Mchumi kitaaluma amemshinda mwanamke mwingine kutoka Uganda, Mwanasheria Dora Byamukama (40) baada ya uchaguzi huo kurudiwa mara mbili baada ya kura za awali kutokufikia idadi asiliamia 30 inayotakiwa ya wapiga kura wote.(Picha kwa hisani ya Mroki Mroki)

No comments:

Post a Comment