Wednesday, June 6, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE ACHANGISHA SH BILIONI 3.2 KATIKA HARAMBEE YA MKAPA HIV/AIDS FOUNDATION

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa  na  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto)  na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mzee Benjamin William Mkapa baada ya kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangia Taasisi ya Mkapa HIV/AIDS foundation na kusaidia  kukusanya shilingi bilioni 3.2 nauvuka malengo ya harambee hiyo kwa asilimia sita

No comments:

Post a Comment