Alhaji Mustafa Songambele na mkewe Mwaya Kondo wakiwa katika picha ya
pamoja na ndugu na jamaa waliofika katika sherehe fupi ya kutimiza miaka
87 ya kuzaliwa kwa mwanasiasa huyo mkongwe hapa nchini,
Thursday, May 31, 2012
Afisa Elimu wa Shule za Msingi jijini Mbeya Aulelia Lwenza akibadjhi
msaada wa madawati 50 yenye thamani ya shilingi milion 5 kwa baadhi ya Walimu Wakuu ambao ulitolewa na bodi ya makandarasi jana wakati wa
uzinduzi mkutano wa mwaka 2012 jana katika chuo cha sayansi na
teknonolojia (MIST) jana picha na Hawa Mathais,Mbeya)
Tuesday, May 29, 2012
IDD SIMBA ATINGA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
Mwenyekiti wa zamani wa Shirika la Usafiri la UDA, Iddi Simba a kiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana.Simba alifikishwa katika mahakama hayo kwa kufunguliwa mashtaka manane yanahusiana na tuhuma za rushwa
MH ESHIMIWA ABOOD AKITEMBEZWA KATIKA KANISA LILILOCHOMWA MOTO
WAZIRI ABOOD ATEMBELEA KANISA LILILOCHOMWA MOTO ZANZIBAR
Monday, May 21, 2012
Mfanyabiashara Augustine Kisinja ambaye ameshinda uwakala bora Tanzania kwa kuwa muuzaji na msambazaji mzuri wa vinywaji vya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), akiendesha Bajaj yenye thamani ya sh. mil. 4.7 aliyozawadiwa na kampuni hiyo hivi karibuni mjini Makambako, Njombe. Pia Kisinja alizawadiwa gari aina ya Jac Canter lenye thamani ya sh. milioni 47.
JUKWAA LA KATIBA LAWASILISHA MACHAPISHO MBALIMBALI KWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
Waziri wa Katiba na Sheria Bw. Mathias Chikawe akipokea machapisho mbalimbali kutoka kwa Bw. Hebron Mwakagenda wa Kamati Ongozi ya Jukwaa la Katiba Tanzania wakati wajumbe wa Jukwaa hilo walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Mei 21, 2012). Wanaoshuhudia ni Bi. Ussu Mallya na Bw. William Kahale kutoka Jukwaa hilo.
Mwanamitindo wa kimataifa mtanzania Flaviana Matata anayefanya kazi zake nchini Marekani akiweka shada la maua katika moja ya makaburi ya pamoja ya watu waliokufa katika ajali ya meli ya MV.Bukoba iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 wakati meli hiyo ilipokuwa ikisafiri kutoka Bukoba kuelekea Mwanza. Mama mzazi wa Flaviana ni miongoni mwa abiria zaidi ya 1000 wanaokadiriwa kufariki katika ajali hiyo, ambapo mwanamitindo huyo alitumia kumbukumbu ya ajali hiyo iliyofanyika jana katika makaburi hayo eneo la Igoma Jijini Mwanza kutoa msaada wa makoti ya kujiokolea (life jackets) 500 kwa kampuni ya meli nchini (MSC) ambayo yatatumiwa na abiria kujiokolea endapo itatokea ajali nyingine. (Picha: George Ramadhan).
FLAVIAN MATATA AKABIDHI MAJAKETI YA KUJIOKOLEA KATIKA KUMBUKUMBU YA MV BUKOBA
Saturday, May 19, 2012
SIKU YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA
Friday, May 18, 2012
HARUNA MOSHI AANGUA KILIO
MWENYEKITI WA SIMBA AANGUA CHOZI
| Add caption |
KWAHERI PATRICK MAFISANGO
Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mchezaji wa Simba Patrick Mafisango likiwa limewekwa katika hema kwenye uwanja wa Sigara tayari kwa kuagwa na wapenzi wanamichezo leo
Wednesday, May 16, 2012
MINZIRO ACHARUKA KWA KUDAI MSHAHARA WAKE AMBAO HAJALIPWA
MKUU WA WILAYA YA BAHI BETTY MKWASA AWAUNGA MKONO WAUZA KARANGA
RAIS ZANZIBAR AZUMGUMZA NA MAOFISA WA WIZARA YA BIASHARA NARais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Biashra,Viwanda na Masoko,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar jana. [ Picha na Ramadhan Othman,IKULU.]VIWANDA
WAKUU WA WILAYA WA KONGWA NA KONDOA WAAPISHWA
ASKARI KAMPUNI YA ULINZI WAGOMA MWANZA
Tuesday, May 15, 2012
WAZIRI MKUU AKUTANA NA KIKUNDI CHA WAFUGA NYUKI KUTOKA ZANZIBAR
Mizinga ya nyuki ya Waziri Mkuu
Hii ni mizinga ya nyuki ambayo inamilikiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye ni mfugaji mashuhuri wa nyuki. Picha na Christopha Mfinanga
MWAKYEMBE AUNGURUMA TARAZA
Mmoja wa wafanyakazi wa Tazara akizungumza kwenye mkutano na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe wakati alipofanya ziara Makao Makuu jijini Dar es Salaam jana.
MAZOEZI YA KUOGELEA
Haya ni mazoezi maalum ya kuogelea ambapo vikundi mbalimbali vilishiriki katika kuogelea yaliyofanyika katika bwawa lililopo katika Shule ya kimataifa ya Hopac. Mashindano hayo yaliandaliwa na Chama cha Kuogelea.nchini.
HILI NI JANGUSHO LA NAZI KULE NG'APA MKOANI LINDI
Mkwezi akikusanya nazi alizoangusha ikiwa ni sehemu ya makusanyo ambayo tayari kwa kuwauzia wateja wakubwa ambao hununua kwa jumla katika kijiji cha Ng'apa mkoani Lindi
Subscribe to:
Comments (Atom)


